Kikosi cha Simba vs Singida Black Stars Leo 31 May 2025 Nusu Fainali

Kikosi cha Simba vs Singida Black Stars Leo 28 May 2025

Leo, Jumamosi tarehe 31 Mei 2025, klabu ya Simba S C itamenyana na Singida Black Stars katika mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho (CRDB Confederation Cup)

Mahali na Muda wa Mechi

  • Uwanja: Tanzanite Kwaraa, Arusha
  • Muda wa Kuanza: Saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki (EAT)

Historia ya Mikutano ya Timu Hizi

Simba S C na Singida Black Stars wamekutana mara 6 katika mashindano mbalimbali. Simba SC imeshinda mechi 4, huku mechi 2 zikiisha kwa sare. Singida Black Stars bado haijapata ushindi dhidi ya Simba SC. Katika mechi yao ya mwisho mnamo Desemba 28, 2024, Simba S C ilishinda kwa bao 1-0 ugenini

Kikosi cha Simba vs Singida Black Stars Leo

Simba SC:

  1. Mousa Camarra (Kipa)
  2. Duchu
  3. Valentine Nouma
  4. Che Malone
  5. Hamza
  6. Yusuph Kagoma
  7. Joshua Mutale
  8. Fabrice Ngoma
  9. Mukwala
  10. Jean Charles Aouha
  11. Kibu

Angalia hapa: Msimamo Ligi Kuu NBC Tanzania 2024/2025

Singida Black Stars:

  1. Metacha (Kipa)
  2. Mkumbo
  3. Malonga
  4. Assinki
  5. Trabi
  6. Damaro
  7. Keyekey
  8. Pokou
  9. Adebayor
  10. Bada
  11. Sowah

Kumbuka: Vikosi hivi vinavyotarajiwa vinaweza kubadilika kulingana na maamuzi ya benchi la ufundi na hali za wachezaji kabla ya mechi.

Mahali pa Kuangalia Mechi

Mechi hii itarushwa moja kwa moja kupitia Azam Sports HD kwa watazamaji wa Tanzania, Kenya, Uganda, na Malawi.

Tegemea mechi ya ushindani mkubwa leo jioni!

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*