Vilabu 30 Bora Afrika 2025: Simba SC Yapanda, Yanga Yabaki Nafasi ileile

Vilabu 30 Bora Afrika 2025

Baada ya hatua ya robo fainali ya CAF Champions League na CAF Confederation Cup, viwango vipya vya vilabu bora Afrika 2025 vimetangazwa rasmi.

Katika orodha hii ya vilabu 30 bora Afrika, klabu ya Simba SC kutoka Tanzania imeonyesha maendeleo makubwa. Simba imepanda kutoka nafasi ya 5 hadi nafasi ya 4 – ishara kuwa bado ni moja ya timu tishio barani Afrika.

Kwa upande mwingine, Yanga SC (Young Africans), ambao ni wapinzani wakubwa wa Simba, wameendelea kushikilia nafasi ya 11 kama ilivyokuwa awali.

Orodha Kamili ya Vilabu 30 Bora Afrika 2025

Hii hapa ni orodha ya vilabu bora kwa mujibu wa viwango vya CAF hadi kufikia hatua ya robo fainali ya mashindano ya kimataifa ya Afrika:

  1. Al Ahly
  2. Mamelodi Sundowns
  3. Esperance
  4. Simba SC
  5. Zamalek
  6. RS Berkane
  7. Wydad Casablanca
  8. Pyramids FC
  9. USM Alger
  10. CR Belouizdad
  11. Young Africans (Yanga SC)
  12. ASEC Mimosas
  13. Al Hilal
  14. TP Mazembe
  15. Orlando Pirates
  16. Raja Casablanca
  17. Petro de Luanda
  18. AS FAR Rabat
  19. MC Alger
  20. Sagrada Esperança
  21. CS Constantine
  22. Stellenbosch
  23. Al Masry
  24. Rivers United
  25. JS Kabylie
  26. Dreams FC
  27. Stade Malien
  28. Horoya AC
  29. Future FC
  30. Étoile du Sahel

Tanzania Yawakilishwa Vyema

Ni wazi kuwa Tanzania inaendelea kujivunia kuwa na vilabu viwili kwenye orodha hii ya vilabu bora Afrika – jambo ambalo linaonyesha maendeleo ya soka la nyumbani. Simba na Yanga zinaendelea kuweka alama kwenye ramani ya soka Afrika.

Angalia Hapa: Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*