Vinara wa Assist NBC Premier League 2024/2025

Vinara wa Assist NBC Premier League 2024/2025

Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025 imetupa msimu wenye burudani safi na ushindani wa hali ya juu, hasa linapokuja suala la watoa asisti bora NBC Premier League 2024/2025. Katika kila mchuano, tumeshuhudia viungo na washambuliaji mahiri kutoka klabu kubwa kama Simba SC, Yanga SC, Azam FC na nyingine wakitengeneza nafasi hatari za mabao kwa ubunifu mkubwa.

Kwa Nini Watoa Asisti ni Muhimu?

Katika soka, asisti ni pasi ya mwisho inayomuwezesha mchezaji kufunga bao. Hii ina maana kwamba mchezaji anayetoa assist ni kiungo muhimu kati ya safu ya kiungo na washambuliaji. Uwezo wa kuona nafasi, kupenya ngome za wapinzani, na kutoa pasi zenye uzito ndicho kinachowatofautisha watoa asisti bora NBC Premier League 2024/2025 na wengine.

Vinara wa Assist NBC Premier League 2024/2025?

Mpaka sasa, Feisal Salum wa Azam FC na Pacome Zouzoua wa Young Africans wapo kileleni kwa utoaji wa assist msimu huu. Takwimu hizi zinasasishwa mara kwa mara kadri mechi zinavyoendelea.

Hii hapa orodha kamili ya watoa asisti bora hadi sasa:

NafasiMchezajiTimuUtaifaAsisti
1Feisal SalumAzamTanzania13
2Pacome ZouzouaYoung AfricansIvory Coast9
3Max NzengeliYoung AfricansDR Congo8
4Prince DubeYoung AfricansZimbabwe8
5Ki Stephane AzizYoung AfricansBurkina Faso7
6Jean AhouaSimbaIvory Coast7
7Josephat BadaSingida BSIvory Coast7
8Salum KihimbwaFountain GateTanzania5
9Ismail MgundaMashujaaTanzania4
10Marouf TchakeiSingida BSTogo4
11Iddi KipagwileDodoma JijiTanzania4
12Mohamed HusseinSimbaTanzania4
13Heritier MakamboTabora UTDDR Congo4
14Iddy SelemaniAzamTanzania4
15Mudathir YahyaYoung AfricansTanzania4

Angalia Hapa: Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*