Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025

Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania

Je, unajua nani anaongoza kwenye ufungaji wa Ligi Kuu Tanzania msimu huu (Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2024/2025)? Hapa kuna orodha ya wafungaji bora hadi sasa:

Kuhusu Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania

NafasiMchezajiTimuMagoli
1Jean AhouaSimba12
2Clement MzizeYoung Africans11
3Prince DubeYoung Africans11
4Steven MukwalaSimba9
5Elvis RupiaSingida BS9
6Jonathan SowahSingida BS8
7Leonel AtebaSimba8
8Gibril SillahAzam8
9Peter LwasaKagera Sugar8
10Pacome ZouzouaYoung Africans8
11Ki Stephane AzizYoung Africans7
12Offen ChikolaTabora UTD7
13Paul PeterDodoma Jiji7
14Heritier MakamboTabora UTD6
15Nassor SaadunAzam6
16Selemani MwalimuFountain Gate6
17Zidane AllyDodoma Jiji5
18Maabad MaulidCoastal Union5
19Edward SongoJKT Tanzania5
20Marouf TchakeiSingida BS5
21William EdgarFountain Gate5
22Oscar PauloKMC5
23Joshua IbrahimKenGold5
24Mishamo DaudiKenGold5
25Selemani BwenziKenGold5
26Ibrahim Abdulla BaccaYoung Africans4
27Feisal SalumAzam4
28Max NzengeliYoung Africans4
29Mathew TegisiPamba Jiji4
30Salum KihimbwaFountain Gate4
31Yacouba SongneTabora UTD4
32Elie MokonoFountain Gate4
33Iddy SelemaniAzam4
34David UromiMashujaa4
35Pius BuswitaNamungo3
36Lusajo MwaikendaAzam3
37Ngoma FabriceSimba3
38Emmanuel KeyekehSingida BS3
39Iddi KipagwileDodoma Jiji3
40Herbert LukindoKenGold3

Wafungaji Wakuchungwa Zaidi Msimu Huu

Seleman Mwalimu

Mshambuliaji mahiri wa Fountain Gate, ameanza msimu kwa kasi. Uwezo wake wa kutumia nafasi finyu kufunga mabao unamfanya kuwa mchezaji wa kutazamwa kwa karibu.

Jean Charles Ahoua

Kipenzi cha mashabiki wa Simba SC, Ahoua ni mwepesi na mwenye kipaji cha kufunga mabao muhimu, hasa dhidi ya wapinzani wakali.

Max Nzengeli

Mchezaji wa Yanga SC anayechangia pakubwa kwenye mashambulizi ya timu. Ana nafasi kubwa ya kuongeza idadi ya mabao msimu huu.

Marouf Tchakei

Kiungo wa Singida Black Stars ambaye anajulikana kwa mabao mazuri ya mipira ya adhabu na mashuti ya mbali.

Wafungaji Walioshuka Kiwango

Hata mastaa wakubwa hupitia changamoto! Hawa ni wachezaji ambao hawajafikia matarajio msimu huu:

Clatous Chama (Simba SC)

Msimu huu, Chama hajaonyesha ule moto wa misimu iliyopita. Mabao yake yamepungua ikilinganishwa na kiwango chake cha kawaida.

Stephane Aziz Ki (Yanga SC)

Mshindi wa kiatu cha dhahabu msimu uliopita, bado hajafikia ubora wake. Anakabiliana na ushindani mkali msimu huu.

Msimu bado mrefu, na nafasi za kubadilisha takwimu zipo wazi. Je, nani ataendelea kutisha? Na nani atarudi kwenye viwango vya juu?

Kwa habari zaidi kuhusu Ligi Kuu Tanzania NBC (Wafungaji bora nbc), tembelea mimiforum.com.

Be the first to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published.


*